KUNDI LA MEJA LIMERUDI TENAAA

Vijana wanne waliokuwa pamoja tangu shule ya msingi,sasa wamekutana tena baada ya kupoteana kipindi cha miaka takribani minne.Vijana hao kwa sasa ni watanashati sana kwa sababu wamekuwa kwa kasi sana.kwa mjina ni Amos Pol,Elisha Lugendo,Judge Kilindo na Mohamed Koas..wanamshukuru mungu kwa kuwakutanisha tena pamoja.Na kundi Lao linaitwa MEJA.


Comments

Popular posts from this blog

DIAMOND PLATNUMZ FT OMARION AFRICAN BEAUTY