Posts

Showing posts from December, 2014

TANZANIA YAONEKANA NDIO NCHI YENYE WANAMUZIKI WAKALI WENGI EAST AFRICA NA KATI..

Image
Kiukweli mpango mzima wa utoaji wa muziki hapa Tanzania umekuwa mzuri sana.Kwa ufahari wa wanamuziki mahiri kama Diamond Platnumz,Ommy Dimpoz,Kala Jeremiah,AY n.k..Tanzania Ni nchi ya burudani..asanteni na mungu aibariki Tanzania..

BABY FASSION SALOON..WE BUILDING BEAUTY..YOUR ALL WELCOME

Image
Baby fashion saloon,Ni saloon inawekea warembo wiggs za aina mbalimbali na zenye ubora mkubwa yaani originals wiggs..wiggs hizo zimetoka katika mataifa makubwa hapa duniani..and called baby fashion saloon iliyopo mtaa wa Morroco in Posta Dar es salaam..kwa mawasiliano email (yisidory@yahoo.com) au kwenye instagram@yohaniaisidory na kwenye Facebook@yohaniaisidory..asante na karibuni nyote..we building beauty..

MY INTRODUCTION

Image
Mimi naitwa Amos Paul na hui ndo blog yangu na nimependa kushare ideas,Funns na vitu vingine tofautitofauti..karibuni sana.

DIAMOND PLATNUMZ AING'ARISHA AFRICA..

Image
Kiukweli kwa sasa karibia Dunia nzima inatambua kuwa barani Africa ndipo penye vipaji vingi vya miziki.suala hili limeonekana Baada ya mwanamziki Diamond PlatnumZ aliponyakua tuzo tatu za chanel O.