TANZANIA YAONEKANA NDIO NCHI YENYE WANAMUZIKI WAKALI WENGI EAST AFRICA NA KATI..

Kiukweli mpango mzima wa utoaji wa muziki hapa Tanzania umekuwa mzuri sana.Kwa ufahari wa wanamuziki mahiri kama Diamond Platnumz,Ommy Dimpoz,Kala Jeremiah,AY n.k..Tanzania Ni nchi ya burudani..asanteni na mungu aibariki Tanzania..